Aliyekuwa Mratibu wa kanda ya Pwani Chadema ahamia CCM
Aliyekuwa Mratibu wa Kanda ya Pwani wa Chadema, na Baadaye Mratibu wa Kampeni wa ACT Wazalendo wakati wa uchaguzi Mkuu ulipita, Nixon Tugara akikabidhiwa kadi ya CCM na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipoamua kuhamia CCM wakati wa uzinduzi
Continue Reading →Makonda aenda na gia nyingine kwa Machinga
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akizungumza nawafanyabiashara ndogo ndogo marufu kama Machinga mtaa wa Kongo na kusikiliza kero zao leo jijini Dar es Salaam.picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda
Continue Reading →Utafiti: Malaria unaongoza kwa kuua watoto chini ya mwaka 1
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na wadau mbalimbali katika uzinduzi wa Matokeo ya Utafiti wa Afya ya Mzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria wa Mwaka 2015-16 Tanzania jijini Dar es
Continue Reading →
BODA BODA WAONYWA KUTUMIKA KISIASA
Waendesha Boda Boda wakisubir abiria Waendesha pikipiki za kusafirisha abiria (bodaboda) wilayani Nachingwea wameaswa wasikubali kutumiwa na wanasiasa nakufanywa ngazi ya kufikia malengo yao yakisiasa. Wito huo ulitolewa hivi karibuni na mkurugenzi mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya kupambana
Continue Reading →Mwonekano wa mke wa Dk Mengi, Jackline Mengi
This is the face you make for the rest of your life when you marry someone as rich as Mengi. I like how elegantly she wears her role. She shared these photos on her birthday about a week ago.
Continue Reading →
Alikiba: Dully Sykes ni kama baba yangu wa kimuziki
Mkali wa wimbo Aje Alikiba baada ya kuondoka na tuzo tatu za EATV, amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na msanii mkongwe wa muziki na producer, Dully Sykes. Hatua hiyo imekuja kutokana na kuenea kwa taarifa za muda mrefu katika mitandao
Continue Reading →